34 Hakika nimeona jinsi watu wangu walio Misri wanavyokandamizwa, nimesikia kilio chao cha huzuni,+ nami nimeshuka ili kuwaokoa. Basi njoo, nitakutuma huko Misri.’
34 Kwa hakika nimeona jinsi watu wangu walio Misri+ wanavyotendewa vibaya, nami nimesikia kuugua+ kwao na nimeshuka ili kuwakomboa.+ Na sasa njoo, nitakutuma uende Misri.’+