49 ‘Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ nayo dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Mtanijengea nyumba ya aina gani? Asema Yehova.* Au pako wapi mahali pangu pa kupumzikia?
49 ‘Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ nayo dunia ni kiti cha miguu+ yangu. Mtanijengea nyumba ya aina gani? Asema Yehova. Au mahali pangu pa kupumzika pako wapi?+