Matendo 8:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Simoni akawaambia: “Mwombeni Yehova* dua kwa ajili yangu ili nisipatwe na lolote kati ya mambo mliyosema.” Matendo 8:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Simoni akajibu akasema: “Ninyi, mwombeni Yehova dua+ kwa ajili yangu ili hata moja kati ya mambo mliyosema lisinipate.”
24 Simoni akawaambia: “Mwombeni Yehova* dua kwa ajili yangu ili nisipatwe na lolote kati ya mambo mliyosema.”
24 Simoni akajibu akasema: “Ninyi, mwombeni Yehova dua+ kwa ajili yangu ili hata moja kati ya mambo mliyosema lisinipate.”