27 Ndipo Barnaba+ akamsaidia na kumpeleka kwa mitume, naye akawasimulia kirefu jinsi alivyokuwa amemwona Bwana+ barabarani, na kwamba alikuwa amezungumza naye, na jinsi alivyozungumza kwa ujasiri katika jina la Yesu+ huko Damasko.
27 Kwa hiyo Barnaba akaja kumsaidia+ na kumpeleka kwa mitume, naye akawaambia kirefu jinsi alivyokuwa amemwona Bwana+ katika barabara, na kwamba alikuwa amesema naye,+ na jinsi alivyokuwa amesema kwa ujasiri katika jina la Yesu, kule Damasko.+