7 Lakini tazama! malaika wa Yehova* alikuwa amesimama hapo,+ na nuru ikang’aa katika chumba cha gereza. Akamgonga Petro ubavuni, akamwamsha akisema: “Simama upesi!” Na minyororo ikaanguka kutoka kwenye mikono yake.+
7 Lakini, tazama! malaika wa Yehova akasimama+ kando, na nuru ikang’aa katika chumba cha gereza. Akampiga Petro ubavuni, akamwamsha,+ akisema: “Amka upesi!” Na minyororo yake ikaanguka+ kutoka kwenye mikono yake.