23 Isitoshe, wakawaweka rasmi wazee kwa ajili yao katika kila kutaniko,+ wakatoa sala na kufunga,+ nao wakawakabidhi kwa Yehova* ambaye walikuwa wamemwamini.
23 Zaidi ya hayo, wakawaweka rasmi wanaume wazee+ kwa ajili yao katika kila kutaniko, wakatoa sala pamoja na kufunga,+ na kuwakabidhi kwa Yehova+ ambaye walikuwa wamemwamini.