3 Paulo alitamani Timotheo aende pamoja naye, basi akamchukua na kumtahiri kwa sababu ya Wayahudi waliokuwa katika sehemu hizo,+ kwa maana wote walijua kwamba baba yake ni Mgiriki.
3 Paulo alitamani mtu huyu aende pamoja naye, naye akamchukua na kumtahiri+ kwa sababu ya Wayahudi waliokuwa katika sehemu hizo, kwa maana wote walijua kwamba baba yake ni Mgiriki.