37 Lakini Paulo akawaambia: “Walitupiga viboko hadharani bila kutuhukumu,* ingawa sisi ni Waroma,+ na wakatutupa gerezani. Je, sasa wanatufukuza kwa siri? Hapana, haiwezekani! Acha waje watutoe nje wao wenyewe.”
37 Lakini Paulo akawaambia: “Walitupiga viboko hadharani bila kuhukumiwa kuwa wenye hatia, sisi tulio Waroma,+ na kututupa gerezani; na je, sasa wanatufukuza kwa siri? Hapana, hata kidogo! lakini acha wao wenyewe waje watutoe nje.”