38 Basi ikiwa Demetrio+ na mafundi walio pamoja naye wana kesi dhidi ya mtu fulani, siku za mahakama hufanywa na kuna maliwali;* wanaweza kushtakiana huko.
38 Kwa hiyo ikiwa Demetrio+ na mafundi walio pamoja naye wana kesi juu ya mtu fulani, siku za mahakama+ hufanywa na kuna maliwali;+ acheni walete mashtaka mtu juu ya mwenzake.