13 Kisha Paulo akasema: “Kwa nini mnalia na kujaribu kunivunja moyo?* Muwe na hakika kwamba niko tayari si kufungwa tu bali pia kufa huko Yerusalemu kwa ajili ya jina la Bwana Yesu.”+
13 Ndipo Paulo akajibu: “Mnafanya nini kwa kulia+ na kunifanya dhaifu moyoni?+ Muwe na hakika, niko tayari si kufungwa tu bali pia kufa+ Yerusalemu kwa ajili ya jina la Bwana Yesu.”