Matendo 23:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Watu hao wakaenda kwa wakuu wa makuhani na wazee na kusema: “Tumejifunga kabisa kwa laana* kwamba hatutakula chochote mpaka tutakapomuua Paulo. Matendo 23:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 nao wakaenda kwa wakuu+ wa makuhani na wanaume wazee na kusema: “Sisi tumejifunga wenyewe chini ya laana kwa uzito kutoonja chakula mpaka tuwe tumemuua Paulo.
14 Watu hao wakaenda kwa wakuu wa makuhani na wazee na kusema: “Tumejifunga kabisa kwa laana* kwamba hatutakula chochote mpaka tutakapomuua Paulo.
14 nao wakaenda kwa wakuu+ wa makuhani na wanaume wazee na kusema: “Sisi tumejifunga wenyewe chini ya laana kwa uzito kutoonja chakula mpaka tuwe tumemuua Paulo.