35 Akasema: “Nitasikiliza kesi yako kwa makini wale wanaokushtaki watakapofika.”+ Naye akaamuru awekwe chini ya ulinzi katika jumba la kifalme la Herode.
35 “Nitasikia kesi yako vilivyo,” akasema, “washtaki wako watakapofika pia.”+ Naye akaamuru kwamba awekwe chini ya ulinzi katika jumba la kimaliki la Herode.