7 makabila yetu 12 yanatumaini kuona ahadi hiyo ikitimizwa kwa kumtolea Mungu utumishi mtakatifu kwa bidii usiku na mchana. Wayahudi wananishtaki kwa sababu ya tumaini hili,+ ewe Mfalme.
7 lakini makabila yetu kumi na mawili yanatumaini kufikia utimizo wa ahadi hii kwa kumtolea utumishi mtakatifu kwa juhudi nyingi usiku na mchana.+ Kuhusu tumaini hili ninashtakiwa+ na Wayahudi, Ewe mfalme.