41 Wakagonga rundo kubwa la mchanga lililorundikwa na bahari pande zote, wakaendesha meli juu ya mchanga nayo omo ikakwama na kukaa bila kutikisika, lakini mawimbi yakaanza kuvunja tezi vipandevipande kwa nguvu.+
41 Walipotua juu ya fungu la mchanga lililorundikwa na bahari pande zote mbili, wakaiendesha meli juu ya mwamba na omo ikakwama na kukaa bila kuondoleka, lakini tezi likaanza kuvunjika vipande-vipande kwa nguvu nyingi.+