2 Na watu hao waliozungumza lugha ya kigeni* walitutendea kwa fadhili zinazopita za kawaida.* Wakawasha moto na kutukaribisha sote kwa fadhili kwa sababu mvua ilikuwa ikinyesha na kulikuwa na baridi.
2 Na watu hao wenye kusema lugha ya kigeni wakatuonyesha fadhili+ za kibinadamu zisizo za kawaida, kwa maana waliwasha moto na kutukaribisha sote na kutupa msaada kwa sababu ya mvua iliyokuwa ikinyesha na kwa sababu ya baridi.+