32 Ingawa wanajua vizuri amri ya uadilifu ya Mungu—kwamba wale wanaozoea kufanya mambo kama hayo wanastahili kifo+—wanaendelea kuyafanya na pia wanakubaliana na wale wanaozoea kuyafanya.
32 Ijapokuwa hawa wanajua vema kabisa amri ya uadilifu ya Mungu,+ kwamba wale wanaozoea kufanya mambo ya namna hiyo wanastahili kifo,+ wao wanaendelea kuyafanya na vilevile hukubaliana+ na wale wanaozoea kuyafanya.