13 Kwa hiyo, je, lililo jema lilinisababishia kifo? La hasha! Lakini dhambi ilifanya hivyo, ili ionyeshwe kuwa dhambi ndiyo inayoniletea kifo kupitia lile lililo jema,+ ili kupitia amri dhambi iwe mbaya zaidi.+
13 Basi, je, lililo jema lilikuja kuwa kifo kwangu? Isiwe hivyo kamwe! Lakini dhambi ilikuwa hivyo, ili ionyeshwe kuwa dhambi ndiyo inayoniletea kifo kupitia lile lililo jema;+ ili dhambi iwe dhambi zaidi kupitia amri.+