4 kwa maana hiyo ni mhudumu wa Mungu kwako kwa faida yako. Lakini ikiwa unafanya mabaya, ogopa, kwa maana haichukui upanga bila kusudi. Hiyo ni mhudumu wa Mungu, nayo hulipiza kisasi ili kuonyesha ghadhabu* dhidi ya yule anayefanya mabaya.
4 kwa maana hiyo ni mhudumu wa Mungu kwako kwa faida yako.+ Lakini ikiwa unafanya mabaya,+ ogopa: kwa maana haichukui upanga bila kusudi; kwa maana hiyo ni mhudumu wa Mungu, mlipiza-kisasi+ ili kuonyesha ghadhabu juu ya yeye anayefanya mabaya.