20 Kwa upande wake, Mungu anayetoa amani atamponda Shetani+ chini ya miguu yenu hivi karibuni. Fadhili zisizostahiliwa za Bwana wetu Yesu na ziwe pamoja nanyi.
20 Kwa upande wake, Mungu anayetoa amani+ atamponda Shetani+ chini ya miguu yenu upesi. Fadhili zisizostahiliwa za Bwana wetu Yesu na ziwe pamoja nanyi.+