17 Kwa maana Kristo alinituma, si kubatiza, bali kutangaza habari njema;+ na si kwa maneno ya hekima,* ili mti wa mateso* wa Kristo usifanywe kuwa kitu kisicho na maana.
17 Kwa maana Kristo alinituma,+ si kwenda kubatiza, bali kwenda kutangaza habari njema, si kwa maneno ya hekima,+ ili mti wa mateso wa Kristo usifanywe kutofaa kitu.