7 Lakini ningependa watu wote wawe kama mimi nilivyo. Hata hivyo, kila mmoja ana zawadi yake+ mwenyewe kutoka kwa Mungu, mmoja kwa njia hii, mwingine kwa njia ile.
7 Lakini ningalipenda watu wote wawe kama mimi mwenyewe nilivyo.+ Hata hivyo, kila mmoja ana zawadi+ yake mwenyewe kutoka kwa Mungu, mmoja kwa njia hii, mwingine kwa njia ile.