21 Kwa wale wasio na sheria nilikuwa kama asiye na sheria, ingawa mimi siko bila sheria kwa Mungu bali niko chini ya sheria kwa Kristo,+ ili niwapate wale wasio na sheria.
21 Kwa wale wasio na sheria+ nilikuwa kama asiye na sheria,+ ijapokuwa mimi siko bila sheria kwa Mungu bali niko chini ya sheria+ kwa Kristo,+ ili niwapate wale wasio na sheria.