5 Basi ningependa ninyi nyote mseme kwa lugha,+ lakini ninapendelea zaidi mtoe unabii.+ Kwa kweli, yule anayetoa unabii ni mkubwa kuliko yule anayezungumza kwa lugha, isipokuwa afasiri* kwa ajili ya kutaniko ili lijengwe.
5 Basi ningependa ninyi nyote mseme kwa lugha,+ lakini napendelea zaidi kwamba mtoe unabii.+ Kwa kweli, yeye anayetoa unabii ni mkubwa kuliko yeye anayesema kwa lugha,+ isipokuwa, kwa kweli, yeye atafsiri, ili kutaniko lijengwe.