11 Kwa hiyo, kwa kuwa tunajua kumwogopa Bwana, tunaendelea kuwashawishi watu, lakini tunafahamika vizuri* kwa Mungu. Hata hivyo, ninatumaini kwamba tunafahamika vizuri* pia kwa dhamiri zenu.
11 Kwa hiyo, kwa kuwa tunajua kumwogopa+ Bwana, tunaendelea kuwashawishi+ watu, lakini sisi tumefunuliwa kwa Mungu. Hata hivyo, natumaini kwamba tumefunuliwa pia kwa dhamiri+ zenu.