7 na si kwa kuwapo kwake tu bali pia kwa faraja ambayo alipokea kwa sababu yenu, kwa kuwa alirudi na kutujulisha kuhusu tamaa yenu ya kuniona, huzuni yenu nyingi, na jinsi mlivyonihangaikia sana;* hivyo nikashangilia hata zaidi.
7 lakini si kwa kuwapo kwake tu, bali pia kwa faraja ambayo alikuwa amefarijiwa juu yenu, kwa kuwa alituletea habari+ tena juu ya tamaa yenu, kuomboleza kwenu, bidii yenu kwa ajili yangu; hivi kwamba nikashangilia zaidi tena.