7 Hata hivyo, kama vile mlivyo na utajiri katika kila jambo, katika imani na neno na ujuzi na bidii yote na katika upendo wetu kwenu, pia mzidi katika utoaji huu wenye fadhili.+
7 Hata hivyo, kama vile mnavyozidi katika kila jambo,+ katika imani na neno na ujuzi+ na bidii yote na katika upendo huu wetu kwenu, ninyi pia mzidi katika utoaji huu wenye fadhili.