12 Kwa maana sisi hatuthubutu kujiweka katika kikundi au kujilinganisha na watu fulani wanaojipendekeza wenyewe.+ Lakini wanapojipima wenyewe kwa wenyewe na kujilinganisha wenyewe kwa wenyewe, hawana uelewaji.+
12 Kwa maana sisi hatuthubutu kujiweka katika kikundi cha watu fulani au kujilinganisha na watu fulani ambao hujipendekeza wenyewe.+ Hakika wao kwa kujipima wenyewe kwa wenyewe na kujilinganisha wenyewe kwa wenyewe, hawana uelewaji.+