4 Kwa maana, kama ilivyo, mtu akija na kuhubiri Yesu mwingine tofauti na yule tuliyemhubiri, au mkipokea roho nyingine tofauti na ile mliyopokea,+ au habari njema nyingine tofauti na ile mliyokubali, mnakubaliana naye.
4 Kwa maana, kama ilivyo, mtu fulani akija na kuhubiri Yesu mwingine tofauti na yule tuliyemhubiri,+ au mkipokea roho nyingine tofauti na ile mliyopokea,+ au habari njema+ nyingine tofauti na ile mliyokubali, mnamvumilia kwa urahisi.+