-
2 Wakorintho 11:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Ninasema hili kwa aibu yetu, kwa sababu huenda ikaonekana tumetenda kwa udhaifu.
Lakini ikiwa wengine wanatenda kwa ujasiri—ninazungumza kama mtu asiye na akili—mimi pia ninatenda kwa ujasiri.
-