4 Ni kweli kwamba aliuawa kwenye mti kwa sababu ya udhaifu, lakini yuko hai kwa sababu ya nguvu za Mungu.+ Ni kweli kwamba sisi pia ni dhaifu pamoja naye, lakini tutaishi pamoja naye+ kwa sababu ya nguvu za Mungu kuwaelekea ninyi.+
4 Ni kweli, yeye alitundikwa mtini+ kwa sababu ya udhaifu,+ lakini yeye yuko hai kwa sababu ya nguvu za Mungu.+ Ni kweli, pia, sisi ni dhaifu pamoja naye,+ lakini tutaishi pamoja naye kwa sababu ya nguvu za Mungu+ kuwaelekea ninyi.