14 Basi tusiwe tena watoto, tukirushwa huku na huku kama kwa mawimbi na kupeperushwa na kila upepo wa fundisho+ kwa udanganyifu wa watu, kupitia ujanja na njia za hila.
14 ili tusiwe tena watoto wachanga, tukirushwa huku na huku+ kama kwa mawimbi na kuchukuliwa huku na huku na kila upepo wa fundisho+ kupitia udanganyifu+ wa watu, kwa njia ya ujanja katika kutunga kosa.