9 Hiyo ndiyo sababu pia tangu siku tuliposikia kuhusu jambo hilo, hatujaacha kamwe kusali kwa ajili yenu+ na kuomba mjazwe ujuzi sahihi+ wa mapenzi yake katika hekima yote na utambuzi wa kiroho,+
9 Hiyo ndiyo sababu sisi pia, tangu siku tuliposikia juu ya jambo hilo, hatujaacha kusali kwa ajili yenu+ na kuomba kwamba mjazwe ujuzi sahihi+ wa mapenzi yake katika hekima+ yote na utambuzi wa kiroho,+