16 kwa sababu kupitia kwake vitu vingine vyote viliumbwa mbinguni na duniani, vitu vinavyoonekana na vitu visivyoonekana,+ iwe ni viti vya ufalme au utawala au serikali au mamlaka. Vitu vingine vyote vimeumbwa kupitia kwake+ na kwa ajili yake.
16 kwa sababu kwa njia yake+ vitu vingine vyote viliumbwa mbinguni na duniani, vitu vinavyoonekana na vitu visivyoonekana, hata viwe ni viti vya ufalme au utawala au serikali au mamlaka.+ Vitu vingine vyote vimeumbwa kupitia yeye+ na kwa ajili yake.