15 Na kupitia mti huo,* amezivua na kuziacha uchi serikali na mamlaka naye amezionyesha hadharani kwamba zimeshindwa,+ akiziongoza katika maandamano ya ushindi.
15 Kwa njia ya huo, kwa kuzivua na kuziacha uchi serikali na mamlaka,+ alizionyesha hadharani zikiwa zimeshindwa,+ akiziongoza katika maandamano yenye shangwe ya ushindi.+