18 Msimruhusu mtu yeyote anayependezwa na unyenyekevu wa uwongo na namna ya ibada ya malaika awanyang’anye tuzo,+ “akichukua msimamo juu ya”* mambo ambayo ameona. Kwa kweli, anajivuna bila sababu inayofaa kwa akili yake ya kimwili,
18 Msiache mtu yeyote awanyang’anye+ tuzo+ mwenye kupendezwa na unyenyekevu wa kujifanya na namna ya ibada ya malaika, “akichukua msimamo juu ya” mambo ambayo ameona, akijivuna bila sababu inayofaa kutokana na hali yake ya akili ya kimwili,