22 Enyi watumwa, watiini katika kila jambo wale ambao ni mabwana wenu wanadamu,*+ si wakati tu wanapowatazama, ili tu kuwapendeza wanadamu,* bali kwa unyoofu wa moyo, kwa kumwogopa Yehova.*
22 Enyi watumwa, watiini katika kila jambo wale ambao ni mabwana zenu katika maana ya kimwili,+ si kwa matendo ya utumishi wa macho, kama wenye kupendeza wanadamu,+ bali kwa unyoofu wa moyo, kwa kumwogopa Yehova.+