3 Tuna wajibu wa kumshukuru Mungu sikuzote kwa sababu yenu, akina ndugu. Hilo linafaa kwa kuwa imani yenu inakua sana na upendo wa kila mmoja wenu unaongezeka kati yenu.+
3 Tuna wajibu wa kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu,+ akina ndugu, kwa kuwa inafaa, kwa sababu imani yenu inakua+ sana na upendo wa kila mmoja wenu na wa ninyi nyote unaongezeka kwa mtu na mwenzake.+