16 Hata hivyo, nilionyeshwa rehema ili kupitia mimi nikiwa wa kwanza kabisa, Kristo Yesu aonyeshe subira yake yote, nami niwe mfano kwa wote watakaomwamini ili kupata uzima wa milele.+
16 Hata hivyo, sababu iliyofanya nionyeshwe rehema+ ilikuwa kwamba kupitia mimi nikiwa ndiye wa kwanza kabisa Kristo Yesu aonyeshe ustahimilivu wake wote kuwa mfano wa wale watakaokuwa na imani+ yao kwake kwa ajili ya uzima wa milele.+