21 Kwa hiyo, yeyote akijiepusha na hivyo vya mwisho, atakuwa kifaa* cha matumizi yanayoheshimika, kilichotakaswa, chenye faida kwa bwana wake, kilichotayarishwa kwa ajili ya kila kazi njema.
21 Kwa hiyo, kama yeyote akijiepusha kabisa na hawa wa mwisho, atakuwa chombo kwa ajili ya kusudi lenye kuheshimika, kilichotakaswa, chenye faida kwa bwana wake, kilichotayarishwa kwa ajili ya kila kazi njema.+