7 Mwangalizi ni msimamizi aliyechaguliwa na Mungu, hivyo hapaswi kuwa na shtaka, asiwe mshupavu,+ asiwe mwenye kukasirika upesi,+ asiwe mlevi, asiwe mkatili,* asiwe na pupa ya mapato yasiyo ya haki,
7 Kwa maana mwangalizi lazima awe bila shtaka+ kama msimamizi-nyumba+ wa Mungu, asiwe mshupavu,+ asiwe mwepesi wa ghadhabu,+ asiwe mlevi mwenye fujo,+ asiwe mwenye kupiga watu,+ asiwe mwenye pupa ya pato lisilo la haki,+