15 Vitu vyote ni safi kwa watu safi;+ lakini kwa watu waliochafuliwa na wasio na imani hakuna chochote kilicho safi, kwa kuwa akili na dhamiri zao zimechafuliwa.+
15 Vitu vyote ni safi kwa watu safi.+ Lakini kwa watu waliotiwa unajisi+ na wasio na imani+ hakuna kitu chochote kilicho safi, bali akili zao na pia dhamiri+ zao zimetiwa unajisi.