5 na juu yake palikuwa na wale makerubi wenye utukufu waliokifunika kile kifuniko cha upatanisho.*+ Lakini sasa si wakati wa kuzungumzia mambo hayo kirefu.
5 lakini upande wake wa juu palikuwa na wale makerubi+ wenye utukufu waliokifunika kile kifuniko cha upatanisho.+ Lakini sasa si wakati wa kusema kirefu habari za vitu hivyo.