10 Zinahusu vyakula na vinywaji tu na njia mbalimbali za kujisafisha kisherehe.*+ Hayo yalikuwa matakwa ya kisheria kuhusu mwili+ nayo yalifuatwa mpaka wakati uliowekwa wa kunyoosha mambo.
10 bali zinahusu tu vyakula+ na vinywaji+ na mabatizo+ mbalimbali. Hayo yalikuwa matakwa ya kisheria yanayohusiana na mwili+ nayo yaliamriwa mpaka wakati uliowekwa wa kunyoosha mambo.+