17 Kwa kuwa mnajua kwamba baadaye alipotaka kuirithi baraka, alikataliwa; kwa maana, ingawa alijaribu kwa bidii kubadili fikira* kwa machozi,+ hakufaulu.*
17 Kwa maana mnajua kwamba baadaye pia alipotaka kuirithi baraka+ alikataliwa,+ kwa maana, ijapokuwa alitafuta kwa bidii badiliko la akili kwa machozi,+ hakupata nafasi kwa ajili ya jambo hilo.+