17 Watiini wale wanaoongoza kati yenu+ na mnyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuwalinda ninyi* kama wale watakaotoa hesabu,+ ili wafanye hivyo kwa shangwe na si kwa huzuni, kwa maana kufanya hivyo kungewadhuru ninyi.
17 Watiini wale wanaoongoza katikati yenu+ na mnyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuzilinda nafsi zenu kama wale watakaotoa hesabu;+ ili wafanye hivyo kwa shangwe na si kwa kuugua, kwa maana kufanya hivyo kungewadhuru ninyi.+