7 Enyi waume, vivyo hivyo endeleeni kukaa nao kulingana na ujuzi.* Wapeni heshima+ kama chombo dhaifu zaidi, yaani, mwanamke, kwa kuwa wao pia ni warithi pamoja nanyi+ wa pendeleo lisilostahiliwa la uzima, ili sala zenu zisizuiwe.
7 Enyi waume, endeleeni kukaa nao vivyo hivyo+ kulingana na ujuzi,+ mkiwapa heshima+ kama chombo dhaifu zaidi, yaani, mwanamke, kwa kuwa ninyi pia ni warithi+ pamoja nao wa pendeleo lisilostahiliwa la uzima, kusudi sala zenu zisizuiwe.+