20 ambao mwanzoni hawakuwa watiifu Mungu alipokuwa akingoja kwa subira* katika siku za Noa,+ safina ilipokuwa ikijengwa,+ ambayo ndani yake watu wachache, yaani, nafsi nane,* walichukuliwa salama kupitia maji.+
20 ambao wakati fulani hawakuwa watiifu+ wakati subira ya Mungu+ ilipokuwa ikingoja katika siku za Noa, safina ilipokuwa ikijengwa,+ ambayo ndani yake watu wachache, yaani, nafsi nane, walichukuliwa salama kupitia maji.+