12 Kupitia Silvano,*+ ambaye ninamwona kuwa ndugu mwaminifu, nimewaandikia kwa maneno machache, ili kuwatia moyo na kutoa ushahidi kwa bidii kwamba hizi ndizo fadhili zisizostahiliwa za Mungu. Simameni imara katika fadhili hizo.
12 Kupitia Silvano,+ ndugu mwaminifu, kama ninavyomhesabu yeye, nimewaandikia ninyi kwa maneno machache,+ ili kutoa kitia-moyo na ushahidi wa bidii kwamba hizi ndizo fadhili zisizostahiliwa za Mungu zilizo za kweli; katika hizo simameni imara.+