8 Kwa maana mambo hayo yakiwa ndani yenu na kufurika, yatawazuia msiwe wasiotenda ama wasiozaa matunda*+ kuhusiana na ujuzi sahihi kumhusu Bwana wetu Yesu Kristo.
8 Kwa maana mambo hayo yakikaa ndani yenu na kufurika, yatawazuia kuwa ama wasiotenda au wasiozaa matunda+ kuhusiana na ujuzi sahihi juu ya Bwana wetu Yesu Kristo.