9 Kila mtu anayevuka mipaka na ambaye hakai katika fundisho la Kristo hana Mungu.+ Mtu anayekaa katika fundisho hili ndiye aliye na Baba na Mwana pia.+
9 Kila mtu anayevuka mipaka+ naye hakai+ katika fundisho la Kristo hana Mungu.+ Yeye ambaye anakaa katika fundisho hili ndiye aliye na Baba na Mwana pia.+